The blog is about hard news



Wednesday, December 14, 2016

MBUNGE Lema Anyimwa Dhamana Tena Leo....Wafuasi Watawanywa Kwa Mabomu ya Machozi



ARUSHA: Mbunge Lema amenyimwa dhamana amerudishwa Magereza ya Kisongo, kesi kusikilizwa tena siku ya Ijumaa, tarehe 16 Desemba 2016.

Inadaiwa kuwa baadhi ya wafuasi waliokusanyika mahakamani kusikiliza kesi hiyo walitawanyishwa kwa mabomu ya machozi.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Copyright © JARIDALETU BLOG | Powered by Blogger