The blog is about hard news



Tuesday, December 13, 2016

MMILIKI wa Mtandao wa Jamii Forums Maxence Melo Akamatwa na Polisi...Anyimwa Dhamana



DAR: Mwanzilishi wa Mtandao wa JamiiForums, Maxence Melo akamatwa na Polisi kwa kukataa kutoa taarifa za siri za watumiaji wa mtandao huo.

Anyimwa dhamana atakaa rumande mpaka kesho atakapofikishwa mahakamani.

Maxence ameendelea kushikilia msimamo kuwa ni uvunjwaji wa Sheria na Haki za wananchi kufanya hivyo.

Share:

0 comments:

Post a Comment

Powered by Blogger.

Copyright © JARIDALETU BLOG | Powered by Blogger